PUNDE KUINGIA MTAANI

MIALE SANAA GROUP KUJA NA FILAMU IITWAYO 990 WAMEKUFA TOKA IRINGA

ASANTE KWAKUTEMBELEA UKURASA WETU

PATA HABARI MBALIMBALI ZAFILAMU ZILIZOKO MTAANI NAZIJAZO HAPA

ASANTE KWAKUTEMBELEA UKURASA WETU

JISKIE HURU KUA NASI

ASANTE KWAKUTEMBELEA UKURASA WETU

UNGANA NASI HAPA KILA WAKATI

ASANTE KWAKUTEMBELEA UKURASA WETU

SANA NISEHEMU MUHIMU YAMAISHA YA MWANADAMU KILASIKU. UNGANA NASI HAPA KILA SIKU KUPATA HABARI MBALI MBALI ZASANAA

Wednesday, January 1, 2014

hii nipicha ya waziri wa fetha ambae pia ni mbunge wa jimbo la karenga Wiliam Mgimwa afariki dunia hivi leo mwenyezi mungu au laze mwili wake salama kwani mbele yake nyuma yetu pole ziwafikie  familia ya waziri mgimwa pamoja na viongozi wenzie wote

BREAKING NEWS: Waziri wa fetha Wiliam Mgimwa amefariki dunia leo katika huspitali ya Mediclinic kloff nchini afrika kusini alipokuwa akitibiwa. Taarifa za kifo chake zimethibitishwa na katibu mkuu kiongozi Ombeni Sefue, ambaye amesema Mgimwa amefariki majira ya saa 5:20 saa za afrika kusini ambapo ni sawa na saa 6:20 majira ya Tanzania