PUNDE KUINGIA MTAANI
MIALE SANAA GROUP KUJA NA FILAMU IITWAYO 990 WAMEKUFA TOKA IRINGA
ASANTE KWAKUTEMBELEA UKURASA WETU
PATA HABARI MBALIMBALI ZAFILAMU ZILIZOKO MTAANI NAZIJAZO HAPA
ASANTE KWAKUTEMBELEA UKURASA WETU
JISKIE HURU KUA NASI
ASANTE KWAKUTEMBELEA UKURASA WETU
UNGANA NASI HAPA KILA WAKATI
ASANTE KWAKUTEMBELEA UKURASA WETU
SANA NISEHEMU MUHIMU YAMAISHA YA MWANADAMU KILASIKU. UNGANA NASI HAPA KILA SIKU KUPATA HABARI MBALI MBALI ZASANAA
Monday, November 4, 2013
8:52 PM
No comments
Eddo Bashil mtangazaji wa redio Ebony hivi karibuni arudi kazini na kwasasa yupo makambako katika shoo za mtikisiko Eddo apokolewa kwa shangwe na mashabiki wake wa makambako na njombe Eddo anasema haamini kilichotokea makambako hakutegemea kama angepokelewa namnahiyo Eddo pichani akitoa mkono kumpa shabiki wake alie vaa kofia yenye rangi nyeupe na nyeusi Eddo anasema hana chakuwalipa mashabiki hawo mwenyez mungu pekee ndie atakae walipa Eddo kamaliza nakusema kuwa atajitaidi kadri ya uwezo wake kuwalizisha mashabiki wake katika kazi namwisho anamshukulu mwenyez mungu kwa yote yaliyo tokea