Wednesday, January 1, 2014

BREAKING NEWS: Waziri wa fetha Wiliam Mgimwa amefariki dunia leo katika huspitali ya Mediclinic kloff nchini afrika kusini alipokuwa akitibiwa. Taarifa za kifo chake zimethibitishwa na katibu mkuu kiongozi Ombeni Sefue, ambaye amesema Mgimwa amefariki majira ya saa 5:20 saa za afrika kusini ambapo ni sawa na saa 6:20 majira ya Tanzania

0 comments:

Post a Comment