PUNDE KUINGIA MTAANI

MIALE SANAA GROUP KUJA NA FILAMU IITWAYO 990 WAMEKUFA TOKA IRINGA

ASANTE KWAKUTEMBELEA UKURASA WETU

PATA HABARI MBALIMBALI ZAFILAMU ZILIZOKO MTAANI NAZIJAZO HAPA

ASANTE KWAKUTEMBELEA UKURASA WETU

JISKIE HURU KUA NASI

ASANTE KWAKUTEMBELEA UKURASA WETU

UNGANA NASI HAPA KILA WAKATI

ASANTE KWAKUTEMBELEA UKURASA WETU

SANA NISEHEMU MUHIMU YAMAISHA YA MWANADAMU KILASIKU. UNGANA NASI HAPA KILA SIKU KUPATA HABARI MBALI MBALI ZASANAA

Sunday, December 1, 2013

R.I.P Msanii Poul Wlker mcheza cinema maarufu alie cheza cinema ya "fast furious" ambae katimiza miaka 40 mwezi wa 9 mwaka 2013 kafariki kwa ajali ya gari yeye na rafiki yake wakiwa katika mashindano, mwendo kasi mtaani huko calfornia marekani.



Wanafunzi washule ya msingi ya wiloles pichani wamebeba bango lenye kuimiza kunywa maziwa mashuleni, maziwa ya asass nimaziwa bola nandio yanayo uzika zaidi katika mkoa wa iringa na mikoa mingine maziwa hayo yalipewa kipaombele katika shule nyingi za mkoani iringa