PUNDE KUINGIA MTAANI

MIALE SANAA GROUP KUJA NA FILAMU IITWAYO 990 WAMEKUFA TOKA IRINGA

ASANTE KWAKUTEMBELEA UKURASA WETU

PATA HABARI MBALIMBALI ZAFILAMU ZILIZOKO MTAANI NAZIJAZO HAPA

ASANTE KWAKUTEMBELEA UKURASA WETU

JISKIE HURU KUA NASI

ASANTE KWAKUTEMBELEA UKURASA WETU

UNGANA NASI HAPA KILA WAKATI

ASANTE KWAKUTEMBELEA UKURASA WETU

SANA NISEHEMU MUHIMU YAMAISHA YA MWANADAMU KILASIKU. UNGANA NASI HAPA KILA SIKU KUPATA HABARI MBALI MBALI ZASANAA

Saturday, November 30, 2013

wasanii wa Bongo movie katika picha wakiawa ndani ya jezi nyekundu ni mpambano hatari kati ya Bongo movie na Bongo fleva ni katika Bonanza

Historia ya Khamis Nurdin
Khamis Nurdin ni mtoto wa wakwanza upande wa kwa mama yake ambao wapo wawili yeye na mdogo wake yassin na upande wa baba yake yeye ni wakwanza pia ambapo nako kuna wadpgozake 4 Khamis Nurdin amezaliwa rujewa wilaya ya mbalali mkoani mbeya mama yake nimarehemu sasa alifariki akimuacha Khamis akiwa na miaka mitatu na nusu na yassin aliachwa akiwa na mwezi mmoja, mama yake khamis aitwae sauda shaban khamis akiwa hamjuwi baba yake kwani baba yake khamis alimtelekeza mama yake khamis tangu akiwa na ujauzito wa khamis ndipo alipoamua kumsingizia baba mwingine amabae alijitokeza kuwa na mahusiano nae alipo kuja kujifungua ulitokea utata mkubwa sana kati ya mama yake mkubwa wa khamis na mama yake mzazi wa khamis na huyo baba feki wa khamis kwani baba huyo alisema khamis nimwanae huku mama yake mkubwa wa khamis akisema huyo mtoto sio wako kwani hata hafanani nae mama wa khamis alibaki kimya huku akizidi kubugujikwa machozi kwajinsi roho inavyo muuma kwa kumuuza mwanae kwa mtu mwingine baba huyo alifaulu kumchukua khamis na kwenda nae kwake kutokana na mama yake kukubali kua mtoto huyo ni wake mama yake mkubwa wa khamis aliuzunika sana lakini hakuubaliana na lililo tokea akapanga blani ya kwenda kumkomboa khamis wakatihuo mama yake khamis aliamua kuondoka na kwenda mbeya mjini ili kuondoa mawazo aliyo nayo,  huku mama yake mkubwa wa khamis akiendelea kifanya michakato ya kumtorosha khamis kutoka kwa yule baba aliweza kufanikiwa kumpata khamis nakumchukuwa kutokana na khamis kuwa mtundu sana alikuwa akifungiwa ndani malakwamala lakini kutokana na utundu wa khamis walishindwa kumzibiti na akachukuliwa na mama yake mkubwa nakupelekwa sehemu nyingine ambapo napo ni kwa mama yake mkubwa mwingine alie kuwa akiishi igawa mkoa wa mbeya,nini kiliendelea khamis alivyo pelekwa igawa..................fatalia jumapili ijayo



Ccm  yajizolea wanachama 100 pamoja na katibu wa chadema wilaya ya chunya mkoani mbeya ambae pichani ikionyesha kadi ya chadema katibu huyo anae julikana kwajina la Bryson mwasimba kushoto abdurahman kinana ambae ni katibu mkuu wa ccm katibu wa chadema bwana Bryson Mwasimba asama anawaomba msamaha wananchi wote alio wadanganya wakati akiwa katika madaraka yake katika chama cha chadema asema anajuta kukitumikia chadema nasasa hataungana tena na chadema na badala yake kuingia ccm katibu huyo anasema anajiona yupo huru sasa ilivyoingia ccm 

Mbabe Chrispin Kisinini hivi leo kawa shukulu mashabiki wake wote walio shilikiana nae mwanzo hadi mwisho katika kutengeneza filamu yake mpya iitwayo "THE RETTURN OF KIDNAPPER" napia anawashukuru wote walio msapoti katika uzinduzi anasema hana chakuwalipa zaidi atawalipa mungu, naatazidi kujituma kuwaletea vitu vizuri zaidi, naana waomba muweze kuitafuta filamu hii kwani kwa sasa ipo madukani