Video ya mazoezi ya kikundi cha miale sanaa group ijumaa iliyo pita
PUNDE KUINGIA MTAANI
MIALE SANAA GROUP KUJA NA FILAMU IITWAYO 990 WAMEKUFA TOKA IRINGA
ASANTE KWAKUTEMBELEA UKURASA WETU
PATA HABARI MBALIMBALI ZAFILAMU ZILIZOKO MTAANI NAZIJAZO HAPA
ASANTE KWAKUTEMBELEA UKURASA WETU
JISKIE HURU KUA NASI
ASANTE KWAKUTEMBELEA UKURASA WETU
UNGANA NASI HAPA KILA WAKATI
ASANTE KWAKUTEMBELEA UKURASA WETU
SANA NISEHEMU MUHIMU YAMAISHA YA MWANADAMU KILASIKU. UNGANA NASI HAPA KILA SIKU KUPATA HABARI MBALI MBALI ZASANAA
Thursday, December 12, 2013
10:57 AM
No comments
mkurugenzi wa miale sanaa group Khamis Nurdin amfukuza kwenye kikundi msanii wake Junior mwaipopo kutokana na utovu wa nizamu Khamis Nurdin alisema ingawa kipaji cha msanii huyo yeye ndie alie kiona na kumchukua na kuanza kumtengeneza katika sanaa nakufanikiwa kumshilikisha katika filamu ya kwanza ambayo ndiyo iliyo mtambulisha msanii huyo filamu hiyo inaitwa "ZERO DONE" ambayo iliwashilikisha wasanii kama pembe, senga, pacho mwamba, kampto rado na wengine wengi khamis anasema baada ya kutoka filamu hiyo kijana hoyo kaanza kubadilika siku hadi siku akiitwa kufanya mazoezi hafiki kwa wakati anafika anvyo taka yeye naamekua mchonganishi kati ya wasanii na mkurugenzi wa kikundi aliweza kuwaeleza wasanii kuwa khamis nurdin ambae nimkurugenz wa kundi kuwa alienda bungeni akachangiwa pesa na viongozi wote wa bungeni kitu ambacho si chakweli Khamis anasema kijanahuyo ingawa alimuahidi kumsaidia katika sanaa sasa ahadi hiyo anaivunja nakusema hawezi kumsaidia tena kwani kutokana na zarau zake zakujiona yeye staa zimemponza hata kuboronga katika filamu mpya inayo kwenda kwa jina la "990 WAMEKUFA" khamis nurdin amemaliza na kusema hatuitaji msamaha wowote kutoka kwa msanii huyo na kuwa sihi wa sanii wengine wenye tabia kama hiyo achanenayo kwani haiwezi kuwafikisha mbali kisanaa.
10:49 AM
No comments
mkurugenzi wa miale sanaa group amkanya msanii wake joseph haule aache tabia kwenda mazoezini akiwa amelewa kwani aibu ya mazoezi haiyondoki kwa pombe na amemsistiza endapo atarudia kosahilo atachukuliwa hatua za kishelia, ila tumeweza kuongea na joseph mwenyewe amekili kufanya kosa hilo na ameahidi kuto rudia na amehahidi kumfata khamis nurdin ambaendio mkurugenzi wake kumuomba msamaha kwa yale yalio tokea, joseph nae nimmoja kati ya washiliki walio cheza katika filamu mpya ya miale sanaa group inayokwenda kwa jina la "990 WAMEKUFA"









