hatimae mlatibu wa miale sanaa group apata pigo jingine leo ukiachana na pigo alilo lipata alipo ibiwa sendo studio wakati tumeenda kulekodi wimbo ilitakiwa atoke gangilonga hadi miyomboni peku baati nzuri alipewa sendo zlizo chakaa ambazo ziliachwa kuvaliwa ili zi mstili msada huo aliupata kwa nely zemodo, leo yamkuta mengine nakujikuta hawezi kufanya mazoezi kutokana na timu yake kufungwa 6 kwa 3 timot john ambae anajulikana kwa jina la sila au mzuru kijana alie tikisa katika filamu ya "990 WAMEKUFA" ambae pia ni mlatibu wa kikundi cha miale sanaa group asema hatokuja kusahau matukio haya mawili yaliyo mkuta hivi karibuni
PUNDE KUINGIA MTAANI
MIALE SANAA GROUP KUJA NA FILAMU IITWAYO 990 WAMEKUFA TOKA IRINGA
ASANTE KWAKUTEMBELEA UKURASA WETU
PATA HABARI MBALIMBALI ZAFILAMU ZILIZOKO MTAANI NAZIJAZO HAPA
ASANTE KWAKUTEMBELEA UKURASA WETU
JISKIE HURU KUA NASI
ASANTE KWAKUTEMBELEA UKURASA WETU
UNGANA NASI HAPA KILA WAKATI
ASANTE KWAKUTEMBELEA UKURASA WETU
SANA NISEHEMU MUHIMU YAMAISHA YA MWANADAMU KILASIKU. UNGANA NASI HAPA KILA SIKU KUPATA HABARI MBALI MBALI ZASANAA