Khamis Nurdin alaani kitendo kilicho tokea jana juu ya mechi walio cheza kati ya miale sanaa group na jamaika ya ipogoro kwani mechi hiyo iliweza kualibika kutokana na timu ya jamaika kufunga gori la ofsaid refa alivyo sema sio gori wachezaji wa jamaika wakamvamia refa na kuanza kumpiga nikitu ambacho hakijaleta picha nzuri kwa mashabiki walio kuapo na ukizingatiarefa alikua ni wa kwao kwahiyo walitaka watetewe lakini refa alitenda haki waka kasirika na kuanza fujo na mechi ika alibika Khamis anasema hazani kama itakuja tokea tena miale kwenda kucheza kule anasema walifanya mechi hiyo kuwa kama nimoja ya kufaamiana na nisehemu ya burudani na kuweka mili yao safi lakini umetokea ugonvi nikitu ambacho kimemuuma sana na malalamiko hayo ana mtupia Omary msigwa ambae yeye ndie alie waomba miale sanaa group kwenda kwenye mechi na yeye ndie alikua mwenyeji wao ila kilichotokea yeye aliondoka na kuwaacha peke yao nikitu ambacho si kizuri.
PUNDE KUINGIA MTAANI
MIALE SANAA GROUP KUJA NA FILAMU IITWAYO 990 WAMEKUFA TOKA IRINGA
ASANTE KWAKUTEMBELEA UKURASA WETU
PATA HABARI MBALIMBALI ZAFILAMU ZILIZOKO MTAANI NAZIJAZO HAPA
ASANTE KWAKUTEMBELEA UKURASA WETU
JISKIE HURU KUA NASI
ASANTE KWAKUTEMBELEA UKURASA WETU
UNGANA NASI HAPA KILA WAKATI
ASANTE KWAKUTEMBELEA UKURASA WETU
SANA NISEHEMU MUHIMU YAMAISHA YA MWANADAMU KILASIKU. UNGANA NASI HAPA KILA SIKU KUPATA HABARI MBALI MBALI ZASANAA