Wednesday, January 1, 2014

hii nipicha ya waziri wa fetha ambae pia ni mbunge wa jimbo la karenga Wiliam Mgimwa afariki dunia hivi leo mwenyezi mungu au laze mwili wake salama kwani mbele yake nyuma yetu pole ziwafikie  familia ya waziri mgimwa pamoja na viongozi wenzie wote

0 comments:

Post a Comment