msanii Leah Mhema a.k.a Betty arudi kuungana tena na miale sanaa group tokea alipokuwa anaumwa anasema anamshukulu mwenyez mungu kwa kumponya na kumpa nguvu tena na uzima wa kuungana tena na kundi lake hilo ambalo ni kwamuda mrefu hakuweza kuwanalo
Betty ingawa nimeambiwa kiwango changu kimeshuka kutokana na muda mrefu sijaweza kufanya mazoezi naamini kuanzia sasa kiwango changu kitarudi nanitakuwa imala naninawashukulu wana miale walio kuwa wanakuja kuniona bila kumsahau mkurugenzi wangu pamoja na mlatibu wangu nawengine pia naomba mwalimu wangu khamis nurdin anikazanie katika kunifundisha nami nitajitaidi kuwa makini kwa kile nacho fundishwa
Betty ingawa nimeambiwa kiwango changu kimeshuka kutokana na muda mrefu sijaweza kufanya mazoezi naamini kuanzia sasa kiwango changu kitarudi nanitakuwa imala naninawashukulu wana miale walio kuwa wanakuja kuniona bila kumsahau mkurugenzi wangu pamoja na mlatibu wangu nawengine pia naomba mwalimu wangu khamis nurdin anikazanie katika kunifundisha nami nitajitaidi kuwa makini kwa kile nacho fundishwa