PUNDE KUINGIA MTAANI

MIALE SANAA GROUP KUJA NA FILAMU IITWAYO 990 WAMEKUFA TOKA IRINGA

ASANTE KWAKUTEMBELEA UKURASA WETU

PATA HABARI MBALIMBALI ZAFILAMU ZILIZOKO MTAANI NAZIJAZO HAPA

ASANTE KWAKUTEMBELEA UKURASA WETU

JISKIE HURU KUA NASI

ASANTE KWAKUTEMBELEA UKURASA WETU

UNGANA NASI HAPA KILA WAKATI

ASANTE KWAKUTEMBELEA UKURASA WETU

SANA NISEHEMU MUHIMU YAMAISHA YA MWANADAMU KILASIKU. UNGANA NASI HAPA KILA SIKU KUPATA HABARI MBALI MBALI ZASANAA

Saturday, February 1, 2014

hatimae mechi iliyokua ikisubiriwa kwa hamu kati ya miale sanaa group na watangazaji wa ridio nuru imesha wadia, mechi hiyo itachezwa kesho katika wanja mpya na wakisasa uliyopo mkimbizi jilani na umati ambao hadisasa umewa acha watu midomo wazi kutokana na wanja huo ukichezea na watu nane yani huku wa nne na upande ungine wanne gorikipa anakua wa tano kiukweli watu wanajiuliza sana kuhusiana na uwanja huo lakini ndio hivyo tena umejingwa kwa kiwango chakimataifa na miale pamoja na watangazaji wa nuru wamekubaliana kucheza katika wa nja huo huku wakitambiana vikali nuru wanasema watawafunga miale gori kumi na miale wanasema wao wanaitaji vitendo nasio maneno



 picha hii ni baazi ya wanamiale ambao wamefurahi kucheza mechi hii na wa tangazaji wa redio nuru kwani nimoja ya kujenga mausiano mazuri kati ya wasanii na watangazaji na waandishi wa redio mbalimbali

 Khamis Nurdin anasema kwamba yeye kajipanga vizuri sana kuhusiana nahii mechi na haitaji maneno sana ila anaitaji vitendo ila nuru lazima wakubari kua watapokea bagori matatu kutoka miale ndivyo anavyo sema Nurdin ambaye ni mkurugenzi wa kundi hilo anamaliza nakusema kwamba wasifikiri kwa sababu wao wamezoe kuigiza wakazani kwenye mpila hawamo lahasha kote wamo

Khamis Nurdin na Daudi masass pamoja na Yassin alafati wakiwa ndani yagari wanaelekea mazoezi kwajili ya kujiandaa na mechi hiyo