Tuesday, February 4, 2014


AFRISWIM BUILDING AND SERVICES Nikampuni inayotengeneza swimin pool ndani ya tanzania na nje ya tanzania katika mahotel na majumba mbalimbali kampuni hii ipo jijini daresalam, hivi karibuni tumepokea taarifa kuwa mkurugenzi wa kampuni ya Afriswim ameungana na mkurugenzi wa miale sanaa group katika kutengeneza filamu ya pamoja ambayo itachezwa katika mkoa wa iringa pamoja na daresalam filamu hiyo ianategemea kuwashilikisha wasanii wakubwa wa tatu pia katika filamu hiyo itaweza kuitangaza rasmi ofisi ya Afriswim ambayo ipo kinondoni gadeni mtaa wa masele.


 kwa mawasiliano ya kibiashala piga namba 0713 313958 








0 comments:

Post a Comment