PUNDE KUINGIA MTAANI

MIALE SANAA GROUP KUJA NA FILAMU IITWAYO 990 WAMEKUFA TOKA IRINGA

ASANTE KWAKUTEMBELEA UKURASA WETU

PATA HABARI MBALIMBALI ZAFILAMU ZILIZOKO MTAANI NAZIJAZO HAPA

ASANTE KWAKUTEMBELEA UKURASA WETU

JISKIE HURU KUA NASI

ASANTE KWAKUTEMBELEA UKURASA WETU

UNGANA NASI HAPA KILA WAKATI

ASANTE KWAKUTEMBELEA UKURASA WETU

SANA NISEHEMU MUHIMU YAMAISHA YA MWANADAMU KILASIKU. UNGANA NASI HAPA KILA SIKU KUPATA HABARI MBALI MBALI ZASANAA

Sunday, February 2, 2014


hatimae utata wa kutambishiana kati ya miale na watangazaji wa nuru fm umekatika leo 
kutokana na watangazaji wa redio nuru kukubali kichapo cha magori 14 kwa 5 miale sanaa group kipindi cha kwanza iliweza kuifunga timu ya watangazaji wa redio nuru magori 7 kwa 3 nakipindi cha pili miale wakaongeza magori 9 ambayo mawili yalikataliwa nakubaki magori 7 na nuru kutupia tena magori 2 napicha hii ni wachezaji wakiwa wanjani katika wanja wa kisasa uliopo mtwivila mkoani Iringa




tumeweza kuongea na mkurugenzi wa kundi la miale sanaa group bwana Khamis Nurdin kuhusiana na furaha aliyonayo juu ya timu yake kushinda kiukweli alisema yeye hajafurahi sana kutokana na kuwafunga magori mengi timu pinzani kitondo hicho kimemuuma kwani yeye alijipanga vizuri na alikuwa hajisifii kuwafunga nuru wakati nuru walikua wanajisifia kuwa funga miale gori kumi nanuru wamesha cheza mechi tano na kushinda mechi tatu na mbili kufungwa ila miale ndio mechiyao ya kwanza lakini wameibuka naushindi mkubwa msikilize 

Khamis Nurdin: kiukweli sijafurahi kabisa kuchukua huu ushindi kutokana na magori tulio yafunga miniliamini na cheza natimu nzuri kutokana na walivyokua wakisema kwamba watanifunga gori kumi nakudai kwamba wao ni wazoefu ila kumbe hamna kitu napia wamshukulu kipa wao walio mwingiza kwa mala yapili ameokea magori mengi sana bila yule kiukweli tunge wafunga hata magori 20 nahata hivyo sikuweza kuwachezesha wa sanii wangu wengine ila kiukweli sijapenda naona kama nimewaonea sana nuru ila kipawao ningekua naweza kumsajili kwangu ninge msajili itabidi nijapange kutafuta timu ilyo imala nijipime nao kiwango maana nuru siwezi kujisifia kuwa ninakiwango hapana siwezi kusema hivyo lazima nitafute timu yenye kiwango nicheze nao nikifunwa ndio ntakubali kuwa mimi bado kiwango

Saturday, February 1, 2014

hatimae mechi iliyokua ikisubiriwa kwa hamu kati ya miale sanaa group na watangazaji wa ridio nuru imesha wadia, mechi hiyo itachezwa kesho katika wanja mpya na wakisasa uliyopo mkimbizi jilani na umati ambao hadisasa umewa acha watu midomo wazi kutokana na wanja huo ukichezea na watu nane yani huku wa nne na upande ungine wanne gorikipa anakua wa tano kiukweli watu wanajiuliza sana kuhusiana na uwanja huo lakini ndio hivyo tena umejingwa kwa kiwango chakimataifa na miale pamoja na watangazaji wa nuru wamekubaliana kucheza katika wa nja huo huku wakitambiana vikali nuru wanasema watawafunga miale gori kumi na miale wanasema wao wanaitaji vitendo nasio maneno



 picha hii ni baazi ya wanamiale ambao wamefurahi kucheza mechi hii na wa tangazaji wa redio nuru kwani nimoja ya kujenga mausiano mazuri kati ya wasanii na watangazaji na waandishi wa redio mbalimbali

 Khamis Nurdin anasema kwamba yeye kajipanga vizuri sana kuhusiana nahii mechi na haitaji maneno sana ila anaitaji vitendo ila nuru lazima wakubari kua watapokea bagori matatu kutoka miale ndivyo anavyo sema Nurdin ambaye ni mkurugenzi wa kundi hilo anamaliza nakusema kwamba wasifikiri kwa sababu wao wamezoe kuigiza wakazani kwenye mpila hawamo lahasha kote wamo

Khamis Nurdin na Daudi masass pamoja na Yassin alafati wakiwa ndani yagari wanaelekea mazoezi kwajili ya kujiandaa na mechi hiyo


Tuesday, January 21, 2014


"AFRISWIM BUILDING AND SERVICES" Ni kampuni inayo jishughulisha na utengenezaji wa ma swimin pool hapa tanzania na nje ya tanzania ofisi zake zipo huspitali ya mwananyamala kwa nyuma kampunihii inatengeneza ma swimin pool na kuya fanyia services katika utengeneza wa ma swimin pool huwa wanakuwa nalamani zao ambazo wana zidizaini kutokana na nyumba yako au eneo lako unalo taka wakutengenezee nahata kama una lamani yako wanaipokea pia na wanafanya kazi pia huwa wanafanya services katika majumba na hata maotel pia, tazama baazi ya picha za swimin pool walizo zitengeneza hapa chini unaweza kuwasiliana nao kwa namba hizi kibiashala 0713313958/ 0789235304  


 hawa ni vijana wa kazi wa kampuni ya Afriswim niwakati wanaanza kuchimba

wakiwa bado wanaendelea na kazi

kazi bado inaendelea

akiwa anakaribia kumaliza kuchimba

hapa ndio tayari wamesha weka dude lenyewe ambalo ndani yake kuta kua na maji

likiwa linaendelea kudizainiwa

bado linaendelea kutengenezwa

vijana wakiwa wametoka kula nawamerudi kuendelea na kazi

hapa bomba inapimwa kuingiza maji 

 hapa ndio kitamba kinawekwa

hapa wanajaribu kuweka maji

maji yakiendelea kujaa

hapa maji yakiwa bado hayaja jaa

hapa maji bado yanajazwa

bado maji yana jazwa

hapa tayari yamejaa

wakisuburi kutoa uchafu uliopo ndani ya maji

hapa likiwa tayari limetolewa uchafu

hapa wameenda kumzika ili waje waendelee na kazi

bado wakiwa hawajafika kuendelea nakazi

hapa jamaa akijiandaa kutoa uchafu ndani ya maji

hapa akiwa anamalizia kutoa uchafu huku mwingine akiendelea kulijazia udongo

hapa akiwa kalimaliza kulitoa uchafu

hapa akiwa analisafisha kwa chini ya ndani ya maji

hapa likiwa tayari limekamirika niusiku wameliwekea taa ndani ya maji

hapa wakiwa ndio wanalitiza walilo dizaini

hapa likiwa tayali awamu yakwanza tayari

hapa bado halijakamilika wanarudi kuendelea nakazi

hili likiwa tayari limesha tengenezwa 

likiwa katika kufanyiwa services

nibaazi ya vifaa vimewekwa kwajili ya kufanyia servuces

hapa ni mkurugenzi wa Afriswim  akiandaa vifaa vya kazi

hapa akiwa anaendelea nakazi

hapa akiwa anamwagia dawa ya kuua vijidudu katika maji

hapa tayari limesha fanyiwa services

hapa likiwa bado halija fanyiwa services

hapa ni awamu ya kwanza ikiwa imekamirika kutengeneza swimin

 hapa tayari limekwisha


Sunday, January 5, 2014



WASANII HAWA NDIO WALIO FANYA VIZURI SANA KATIKA FILAMU YA 
"ZERO DONE" NA HIZI PICHA ZOTE NI KATIKA VIPANDE VYA KWENYE FILAMU YA ZERO DONE


KANNI LUFILILI akiwa katika scene

SAIMON MWAPAGATA akiwa katika scene

KANNI LUFFILILI akiwa katika scene

YUSUFU KAIMU NA ULLY MWALULESA picha ya kasha

KHAMIS NURDIN picha ya kasha

KANNI LUFILILI akiwa katika scene

DENIS MLOWE NA KHAMIS NURDIN wakiwa katika scene

HALIMA MADIWA NA KHAMIS NURDIN wakiwa katika scene

KHAMIS NURDIN akiwa katika scene

DENIS MLOWE akiwa katika scene

SAIMON MWAPAGATA NA HALIMA MADIWA wakiwa katika scene

HALIMA MADIWA akiwa katika scene 

HALIMA MADIWA akiwa katika scene

KANNI LUFILILI NA KHAMIS NURDIN wakiwa katika scene

HALIMA MADIWA akiwa katika scene

YUSUFU KAIMU NA ULLY MWALULESA  wakiwa katika scene

KHAMIS NURDIN NA YUSUFU KAIMU, ULLY MWALULESA wakiwa katika scene

KHAMIS NURDIN