Saturday, December 14, 2013

hatimae mlatibu wa miale sanaa group apata pigo jingine leo ukiachana na pigo alilo lipata alipo ibiwa sendo studio wakati tumeenda kulekodi wimbo ilitakiwa atoke gangilonga hadi miyomboni peku baati nzuri alipewa sendo zlizo chakaa ambazo ziliachwa kuvaliwa ili zi mstili msada huo aliupata kwa nely zemodo, leo yamkuta mengine nakujikuta hawezi kufanya mazoezi kutokana na timu yake kufungwa 6 kwa 3 timot john ambae anajulikana kwa jina la sila au mzuru kijana alie tikisa katika filamu ya "990 WAMEKUFA" ambae pia ni mlatibu wa kikundi cha miale sanaa group asema hatokuja kusahau matukio haya mawili yaliyo mkuta hivi karibuni

0 comments:

Post a Comment