Friday, November 29, 2013
Home »
»
8:18 PM
No comments
Vichaa walipewa vipande vya sabuni wakaambiwa kila m1 ampigie mchumba wake, wakaanza kupiganakuongea mmoja akawa amekaa kimya anawaangalia wenzake Doctar akajuwa ameshapona akamuuliza. Doctar: we mbona huongei? Kichaa: Nasubiri saa 4 ifike nijiunge na cheka bombastk. Doctar hoi
0 comments:
Post a Comment