
Msanii Masanja wa Iringa leohi wameungana na Magumashi kwajili ya kupiga shoo kabambe vijijini msanii Masanja ambae nimtata katika kuigiza sauti tofauti tofauti na iliompa umaarufu ni sauti ya Masanja na nyingine ya Kingwendu, msanii huyo anasema shoo hiyo itakuwa ni bamkubwa kutokana na maandalizi walio jipanga nayo
0 comments:
Post a Comment