PUNDE KUINGIA MTAANI

MIALE SANAA GROUP KUJA NA FILAMU IITWAYO 990 WAMEKUFA TOKA IRINGA

ASANTE KWAKUTEMBELEA UKURASA WETU

PATA HABARI MBALIMBALI ZAFILAMU ZILIZOKO MTAANI NAZIJAZO HAPA

ASANTE KWAKUTEMBELEA UKURASA WETU

JISKIE HURU KUA NASI

ASANTE KWAKUTEMBELEA UKURASA WETU

UNGANA NASI HAPA KILA WAKATI

ASANTE KWAKUTEMBELEA UKURASA WETU

SANA NISEHEMU MUHIMU YAMAISHA YA MWANADAMU KILASIKU. UNGANA NASI HAPA KILA SIKU KUPATA HABARI MBALI MBALI ZASANAA

Tuesday, November 19, 2013

CONFERMED: Uzinduzi wa Filamu ya MBABE CHRISS "THE RETURN OF KIDNAPPER" Unafanyika Ijumaa ya wiki ijayo tar 29 ndani ya CLUB MUCHMORE, Bongo Move wote watakuwepo pamoja na mastar kibao, sio siku ya kuikosa kiingilio ni 10,000 VIP 30,000

Sunday, November 17, 2013

BREAKING NEWS:Watu7 wafariki dunia hapo hapo na wengine wa5 kujeruhiwa baada ya gari aina ya Noah kugongana uso kwa uso na lori la mizigo maeneo ya Dakawa mkoani Morogoro

Sunday, November 10, 2013

KIOTA ART PRODUCTIONS

Ni kampuni ya utayarishaji Filamu mkoani Iringa na Tanzania kwa ujumla inayopatikana mjini Iringa mkabala na soko kuu la Iringa.

Mbali na utayarishaji wa Filamu, Kiota inajisughulisha na Uongozaji wa filamu, uandishi wa script, Usimamizi wa mandhali na Sakafu pamoja na kufanya post Production kwa ujumla. 

Aidha Kiota inatoa huduma za upigaji picha katika shughuli mbalimbali kama vile arusi, kitchen part, kipaimara, misiba, makongamano, semina, mikutano na vikao mbalimbali. 

Pia tunapiga picha za passport size na huduma zote za Stationery kwa gharama nafuu. 

Wasiliana nasi kwa Simu namba:-
0754 439740
0715 439740 au
Email: shamkis@gmail.com 

Baadhi ya wasanii wa filamu mkoani Iringa wakitafakari wakati wa mazoezi yao katika moja ya kambi za mazoezi mkoani hapa. Tasnia ya filamu mkoani Iringa, bado inahitaji mapinduzi makubwa ili kufikia mafanikio

Monday, November 4, 2013

kampuni ya Zitto entertaenment na mkurugenzi wa Miale sanaa Group Khamis Nurdin wanawaombea dua wanafunzi wote wa 4m4   nakuwatakia mitihani mema na mwenyez mungu awabaliki

Eddo Bashil mtangazaji wa redio Ebony  hivi karibuni arudi kazini na kwasasa yupo makambako katika shoo za mtikisiko Eddo apokolewa kwa shangwe na mashabiki wake wa makambako na njombe Eddo anasema haamini kilichotokea makambako hakutegemea kama angepokelewa namnahiyo Eddo pichani akitoa mkono kumpa shabiki wake alie vaa kofia yenye rangi nyeupe na nyeusi Eddo anasema hana chakuwalipa mashabiki hawo mwenyez mungu pekee ndie atakae walipa Eddo kamaliza nakusema kuwa atajitaidi kadri ya uwezo wake kuwalizisha mashabiki wake katika kazi namwisho anamshukulu mwenyez mungu kwa yote yaliyo tokea

Sunday, November 3, 2013

Amasha LOrence arudi kwenye gem kimyakimya msanii Amasha hivi karibuni ameanza maandalizi ya kutengeneza filam akishilikiana na swahiba wake kipenzi Khamis Nurdin hivi sasa wapo porini na wasanii wakifanya mazoezi ya filam hiyo Amasha anasema kwamba mashabiki wajiandae kuipokea filam hiyo ambayo itakua ni yakutisha na ndiomana wanaifanyia porini na ametoa sababu ya kumchukua swahiba wake katika filam hiyo nakumuomba kushilikiana nae kwani Khamis Nurdin nimzoefu wa filam za kutisha kwahiyo hajutii kumchukuwa na anaimani itakuwa nzuri sana kazi hiyo

Rems John yupo katika zoezi anacheza kama zombi katika filam hiyo. hizi nipicha zamazoezi jamani filam bado hawajaanza kushuti

msanii Anna akiwa katika zoezi kacheza kama kufa. Inatisha ilembaya kama mazoezitu..... yapo hivi hiyo filam itakuaje

Khamis Nurdin akiwa na Lea Mhema wakiwa katika zoezi