PUNDE KUINGIA MTAANI

MIALE SANAA GROUP KUJA NA FILAMU IITWAYO 990 WAMEKUFA TOKA IRINGA

ASANTE KWAKUTEMBELEA UKURASA WETU

PATA HABARI MBALIMBALI ZAFILAMU ZILIZOKO MTAANI NAZIJAZO HAPA

ASANTE KWAKUTEMBELEA UKURASA WETU

JISKIE HURU KUA NASI

ASANTE KWAKUTEMBELEA UKURASA WETU

UNGANA NASI HAPA KILA WAKATI

ASANTE KWAKUTEMBELEA UKURASA WETU

SANA NISEHEMU MUHIMU YAMAISHA YA MWANADAMU KILASIKU. UNGANA NASI HAPA KILA SIKU KUPATA HABARI MBALI MBALI ZASANAA

Sunday, February 9, 2014

Khamis Nurdin alaani kitendo kilicho tokea jana juu ya mechi walio cheza kati ya miale sanaa group na jamaika ya ipogoro kwani mechi hiyo iliweza kualibika kutokana na timu ya jamaika kufunga gori la ofsaid refa alivyo sema sio gori wachezaji wa jamaika wakamvamia refa na kuanza kumpiga nikitu ambacho hakijaleta picha nzuri kwa mashabiki walio kuapo na ukizingatiarefa alikua ni wa kwao kwahiyo walitaka watetewe lakini refa alitenda haki waka kasirika na kuanza fujo na mechi ika alibika Khamis anasema hazani kama itakuja tokea tena miale kwenda kucheza kule anasema walifanya mechi hiyo kuwa kama nimoja ya kufaamiana na nisehemu ya burudani na kuweka mili yao safi lakini umetokea ugonvi nikitu ambacho kimemuuma sana na malalamiko hayo ana mtupia Omary msigwa ambae yeye ndie alie waomba miale sanaa group kwenda kwenye mechi na yeye ndie alikua mwenyeji wao ila kilichotokea yeye aliondoka na kuwaacha peke yao nikitu ambacho si kizuri.

Friday, February 7, 2014

tazama picha za uzinduzi wa kundi la Ruwaha sanaa group lililopo ndiuka mjini Iringa kundi hili limeanza kazi za sanaa hivi karibuni nawaliwe kulialika kundi la miale sanaa group na kumuomba mkurugenzi wa kundi la miale sanaa group kuwa mgeni rasmi 


mkurugenzi wa kundi la Ruwaha aliweza kumueleza mkurugenzi wa kundi la miale sanaa group kuwa wanaomba msaada wake katika kuwasaidia juu ya kuandaa filamu na kuwataftia wadau na kuwatngaza katika sehemu mbalimbali nakuweza kumueleza juu ya matatizo yanayo wakabili

Khamis Nurdin ambae ni mkurugenzi wa miale sanaa group alikubali kuwa saidia katika yale yote waliyoweza kuyasema nakuwa ahidi kuwatangaza katika vyombo vya habari nakuwasaidia katika kuwafundisha nakushilikiana nao katika kutengeneza filamu yao 


pichani hapa nikundi la Ruaha sanaa group wakiwa katika pozi

pichani ni viongozi wa Ruaha sanaa group na miale sanaa group

pichani ni mashabiki walio uzuria katika uzinduzi huo

pichani ni kundi la miale sanaa group

pichani ni wasanii wa Ruaha sanaa group wakiwa katika kuigiza

pichani kundi la Ruaha sanaa group

pichani ni viongozi wa kundi la Ruaha sanaa group wakiwa katika kuigiza

pichani ni vijana walio kua wakiigiza

pichani ni vijana wa kundi la Ruaha sanaa group wakiwa katika kuigiza

pichani ni mabinti wa kundi la Ruaha sanaa group wakiwa katika kuigiza

pichani ni vijana wa kundi la Ruaha wakiwa katika kuigiza

pichani ni vijana wa miale sanaa group na vijana wa Ruaha sanaa group katika picha ya pamoja

pichani ni kundi la vijana wa Ruaha sanaa group

mkurugenzi wa kundi la miale sanaa group bwana Khamis Nurdin akiwa na kundi la watoto ambao ni mashabiki wake

mkurugenzi wa kundi la miale sanaa group akiwa katika picha ya pamoja na uwongozi wa Ruaha sanaa group

pichani ni mkurugenzi wa kundi la Ruaha sanaa group akiwa na msanii wake katika picha ya pamoja

pichani ni msanii wa Ruaha sanaa group na msanii wa miale sanaa group

pichani ni wasanii wa Ruaha sanaa group katika picha ya pamoja

pichani ni madans wa kundi la Ruaha sanaa gruop

pichani ni kundi la madans wakiwa wanatoa burudani katika usindizi wa kundi la Ruaha sanaa group

pichani ni watoto waliopo katika kundi la Ruaha sanaa group

Tuesday, February 4, 2014


AFRISWIM BUILDING AND SERVICES Nikampuni inayotengeneza swimin pool ndani ya tanzania na nje ya tanzania katika mahotel na majumba mbalimbali kampuni hii ipo jijini daresalam, hivi karibuni tumepokea taarifa kuwa mkurugenzi wa kampuni ya Afriswim ameungana na mkurugenzi wa miale sanaa group katika kutengeneza filamu ya pamoja ambayo itachezwa katika mkoa wa iringa pamoja na daresalam filamu hiyo ianategemea kuwashilikisha wasanii wakubwa wa tatu pia katika filamu hiyo itaweza kuitangaza rasmi ofisi ya Afriswim ambayo ipo kinondoni gadeni mtaa wa masele.


 kwa mawasiliano ya kibiashala piga namba 0713 313958 








Monday, February 3, 2014

Hapa pichani ni wasanii wa miale sanaa group wakiwa ndio wanaingia wanjani kwa kipindi chapili kutoka mapumziko

Khamis Nurdin katika picha akiwa anawasuburi wenzie wafike kuanza mechi kipindi cha pili

hapa wapinzani nao wakiwa ndio wanaingia wanjani kucheza kipindi chapili

pichani ni wasanii wamiale sanaa group ambao wanasubiri sabu

pichani ni wasanii wamiale sanaa group

pichani ni wasanii wamiale sanaa group

pichani ni Khamis Nurdin na Dominiki singano

Sunday, February 2, 2014


hatimae utata wa kutambishiana kati ya miale na watangazaji wa nuru fm umekatika leo 
kutokana na watangazaji wa redio nuru kukubali kichapo cha magori 14 kwa 5 miale sanaa group kipindi cha kwanza iliweza kuifunga timu ya watangazaji wa redio nuru magori 7 kwa 3 nakipindi cha pili miale wakaongeza magori 9 ambayo mawili yalikataliwa nakubaki magori 7 na nuru kutupia tena magori 2 napicha hii ni wachezaji wakiwa wanjani katika wanja wa kisasa uliopo mtwivila mkoani Iringa




tumeweza kuongea na mkurugenzi wa kundi la miale sanaa group bwana Khamis Nurdin kuhusiana na furaha aliyonayo juu ya timu yake kushinda kiukweli alisema yeye hajafurahi sana kutokana na kuwafunga magori mengi timu pinzani kitondo hicho kimemuuma kwani yeye alijipanga vizuri na alikuwa hajisifii kuwafunga nuru wakati nuru walikua wanajisifia kuwa funga miale gori kumi nanuru wamesha cheza mechi tano na kushinda mechi tatu na mbili kufungwa ila miale ndio mechiyao ya kwanza lakini wameibuka naushindi mkubwa msikilize 

Khamis Nurdin: kiukweli sijafurahi kabisa kuchukua huu ushindi kutokana na magori tulio yafunga miniliamini na cheza natimu nzuri kutokana na walivyokua wakisema kwamba watanifunga gori kumi nakudai kwamba wao ni wazoefu ila kumbe hamna kitu napia wamshukulu kipa wao walio mwingiza kwa mala yapili ameokea magori mengi sana bila yule kiukweli tunge wafunga hata magori 20 nahata hivyo sikuweza kuwachezesha wa sanii wangu wengine ila kiukweli sijapenda naona kama nimewaonea sana nuru ila kipawao ningekua naweza kumsajili kwangu ninge msajili itabidi nijapange kutafuta timu ilyo imala nijipime nao kiwango maana nuru siwezi kujisifia kuwa ninakiwango hapana siwezi kusema hivyo lazima nitafute timu yenye kiwango nicheze nao nikifunwa ndio ntakubali kuwa mimi bado kiwango

Saturday, February 1, 2014

hatimae mechi iliyokua ikisubiriwa kwa hamu kati ya miale sanaa group na watangazaji wa ridio nuru imesha wadia, mechi hiyo itachezwa kesho katika wanja mpya na wakisasa uliyopo mkimbizi jilani na umati ambao hadisasa umewa acha watu midomo wazi kutokana na wanja huo ukichezea na watu nane yani huku wa nne na upande ungine wanne gorikipa anakua wa tano kiukweli watu wanajiuliza sana kuhusiana na uwanja huo lakini ndio hivyo tena umejingwa kwa kiwango chakimataifa na miale pamoja na watangazaji wa nuru wamekubaliana kucheza katika wa nja huo huku wakitambiana vikali nuru wanasema watawafunga miale gori kumi na miale wanasema wao wanaitaji vitendo nasio maneno



 picha hii ni baazi ya wanamiale ambao wamefurahi kucheza mechi hii na wa tangazaji wa redio nuru kwani nimoja ya kujenga mausiano mazuri kati ya wasanii na watangazaji na waandishi wa redio mbalimbali

 Khamis Nurdin anasema kwamba yeye kajipanga vizuri sana kuhusiana nahii mechi na haitaji maneno sana ila anaitaji vitendo ila nuru lazima wakubari kua watapokea bagori matatu kutoka miale ndivyo anavyo sema Nurdin ambaye ni mkurugenzi wa kundi hilo anamaliza nakusema kwamba wasifikiri kwa sababu wao wamezoe kuigiza wakazani kwenye mpila hawamo lahasha kote wamo

Khamis Nurdin na Daudi masass pamoja na Yassin alafati wakiwa ndani yagari wanaelekea mazoezi kwajili ya kujiandaa na mechi hiyo


Tuesday, January 21, 2014


"AFRISWIM BUILDING AND SERVICES" Ni kampuni inayo jishughulisha na utengenezaji wa ma swimin pool hapa tanzania na nje ya tanzania ofisi zake zipo huspitali ya mwananyamala kwa nyuma kampunihii inatengeneza ma swimin pool na kuya fanyia services katika utengeneza wa ma swimin pool huwa wanakuwa nalamani zao ambazo wana zidizaini kutokana na nyumba yako au eneo lako unalo taka wakutengenezee nahata kama una lamani yako wanaipokea pia na wanafanya kazi pia huwa wanafanya services katika majumba na hata maotel pia, tazama baazi ya picha za swimin pool walizo zitengeneza hapa chini unaweza kuwasiliana nao kwa namba hizi kibiashala 0713313958/ 0789235304  


 hawa ni vijana wa kazi wa kampuni ya Afriswim niwakati wanaanza kuchimba

wakiwa bado wanaendelea na kazi

kazi bado inaendelea

akiwa anakaribia kumaliza kuchimba

hapa ndio tayari wamesha weka dude lenyewe ambalo ndani yake kuta kua na maji

likiwa linaendelea kudizainiwa

bado linaendelea kutengenezwa

vijana wakiwa wametoka kula nawamerudi kuendelea na kazi

hapa bomba inapimwa kuingiza maji 

 hapa ndio kitamba kinawekwa

hapa wanajaribu kuweka maji

maji yakiendelea kujaa

hapa maji yakiwa bado hayaja jaa

hapa maji bado yanajazwa

bado maji yana jazwa

hapa tayari yamejaa

wakisuburi kutoa uchafu uliopo ndani ya maji

hapa likiwa tayari limetolewa uchafu

hapa wameenda kumzika ili waje waendelee na kazi

bado wakiwa hawajafika kuendelea nakazi

hapa jamaa akijiandaa kutoa uchafu ndani ya maji

hapa akiwa anamalizia kutoa uchafu huku mwingine akiendelea kulijazia udongo

hapa akiwa kalimaliza kulitoa uchafu

hapa akiwa analisafisha kwa chini ya ndani ya maji

hapa likiwa tayari limekamirika niusiku wameliwekea taa ndani ya maji

hapa wakiwa ndio wanalitiza walilo dizaini

hapa likiwa tayali awamu yakwanza tayari

hapa bado halijakamilika wanarudi kuendelea nakazi

hili likiwa tayari limesha tengenezwa 

likiwa katika kufanyiwa services

nibaazi ya vifaa vimewekwa kwajili ya kufanyia servuces

hapa ni mkurugenzi wa Afriswim  akiandaa vifaa vya kazi

hapa akiwa anaendelea nakazi

hapa akiwa anamwagia dawa ya kuua vijidudu katika maji

hapa tayari limesha fanyiwa services

hapa likiwa bado halija fanyiwa services

hapa ni awamu ya kwanza ikiwa imekamirika kutengeneza swimin

 hapa tayari limekwisha