PUNDE KUINGIA MTAANI
MIALE SANAA GROUP KUJA NA FILAMU IITWAYO 990 WAMEKUFA TOKA IRINGA
ASANTE KWAKUTEMBELEA UKURASA WETU
PATA HABARI MBALIMBALI ZAFILAMU ZILIZOKO MTAANI NAZIJAZO HAPA
ASANTE KWAKUTEMBELEA UKURASA WETU
JISKIE HURU KUA NASI
ASANTE KWAKUTEMBELEA UKURASA WETU
UNGANA NASI HAPA KILA WAKATI
ASANTE KWAKUTEMBELEA UKURASA WETU
SANA NISEHEMU MUHIMU YAMAISHA YA MWANADAMU KILASIKU. UNGANA NASI HAPA KILA SIKU KUPATA HABARI MBALI MBALI ZASANAA
Thursday, December 26, 2013
Saturday, December 21, 2013
9:21 PM
No comments
Sunday, December 15, 2013
9:03 PM
No comments
msanii Leah Mhema a.k.a Betty arudi kuungana tena na miale sanaa group tokea alipokuwa anaumwa anasema anamshukulu mwenyez mungu kwa kumponya na kumpa nguvu tena na uzima wa kuungana tena na kundi lake hilo ambalo ni kwamuda mrefu hakuweza kuwanalo
Betty ingawa nimeambiwa kiwango changu kimeshuka kutokana na muda mrefu sijaweza kufanya mazoezi naamini kuanzia sasa kiwango changu kitarudi nanitakuwa imala naninawashukulu wana miale walio kuwa wanakuja kuniona bila kumsahau mkurugenzi wangu pamoja na mlatibu wangu nawengine pia naomba mwalimu wangu khamis nurdin anikazanie katika kunifundisha nami nitajitaidi kuwa makini kwa kile nacho fundishwa
Betty ingawa nimeambiwa kiwango changu kimeshuka kutokana na muda mrefu sijaweza kufanya mazoezi naamini kuanzia sasa kiwango changu kitarudi nanitakuwa imala naninawashukulu wana miale walio kuwa wanakuja kuniona bila kumsahau mkurugenzi wangu pamoja na mlatibu wangu nawengine pia naomba mwalimu wangu khamis nurdin anikazanie katika kunifundisha nami nitajitaidi kuwa makini kwa kile nacho fundishwa
10:03 AM
No comments
SAMAHANI KWA USUMBUFU ULIO JITOKEZA WAKUTO ENDELEZA SIMLIZI YA STORI YA KHAMIS NURDIN KWANI MTANDAO ULIKUWA UNASUMBUA NA SASA UMEKAA VIZURI LEO TUNAENDELEA TULIPO ISHIA WIKI ILIYOPITA
Khamis nurdin aliishi kwa mama yake mkubwa hapo igawa huku mama yake mkubwa alie mleta aliludi rujewa khamis aliishi igawa kwa mama yake huyo mkubwa ambaye pia alikuwa anawatoto wawili mapacha ambao niwadogo kwa khamis majukumu ya kuwalea watoto hao aliachiwa khamis kiukweli ulikuwa nimtihani sana kwake kwani aligeuzwa kuwa mfanyakazi wandani hukuakiwa na umli mdogo sana khamis alilia sana wakati anaanza kutumikishwa kazi nailikuwa nimzigo kwake kwani alikua haelewi chochote alianza kutumikishwa kazi zandani kama kufagia kupiga deki kukosha vyombo kumwagilia miti kuchota maji kuwa safisha watoto kila wanapo jisaidia kwakila siku zinavyo zidi kwenda akawa anaambiwa aendeshamba kumwagilia na kulima vitunguu na karanga ikafikia kipindi akaambiwa aanze kuuza chenga za mchele barabarani nailikuwa nikawaida kupigwa fimbo na baba yake mkubwa mme wa mama yake mkubwa kila siku anapo rudi khamis hakuelewa kwanini anafanyiwa hivyo ilifikia kipindi mapacha hao wakifanya kosa anapigwa khamis wakiiba mboga au kitu chochote anashikwa khamis anafungwa majani mikononi anachomwa moto kunakipindi khamis alikataa kufanya kazi yeyote mlendani alijipa likizo akaambia hakuna kula kuanzia asubuhi hadi kesho yake atakapo amua kufanya kazi alichinjwa bata aliliwa huku khamis anaangalia hakuna alie muonea huruma khamis hakujali hilo alitoka kuelekea barabarani akakutana na mtoto kashika miambili ya noti katumwa kununua mafuta ya taa na maziwa ya mgando khamis alichua ilehela nakumnunulia maziwa yule mtoto hela nyingine akala maandazi mtoto kuludi kwa anaulizwa mafuta yapo wapi anashindwa kusema ikibidi achukuliwe hadi dukani alipo nunua kufika kuuliza kwa mwenye duka akaambiwa ukweli kuwa osama ndio alie mnunulia mtoto huyu maziwa na hela nyingine akala maandazi khamis alikuwa anaitwa osama jina lautani walilompa mtaani kutokana na utukutu wake basi walivyo ambiwa hivyo wakatoka hadi kwa kina osama (khamis) wakawakuta wazazi wake walezi wakawashtakia ikibadi ilipwe ile hela kidogo osama (khamis) anaingia kiukweli alipigwa sana usiku ule alilala akiugulia maumivu alfajili akaamka nakwenda msikitini akaludi akafanya kazi zote akaenda shule kuludi mchana hakukuta chakula zaidi ya kukuta wamemuandalia mchele akauze akachukuwa akaondoka kwenda kuuza kiukweli alikuwa nimjanja sana alikuwa akiesabiwa lita zamchele anazo enda kuuza ila yeye kunauhuni alikuwa anaufanya katika lita ili apate nayeye hela ya kula alianza kumiliki hela akiwa mdogo sana naalikuwa nimtu mwenye bahati sana ya kuokota hela nakipindi hicho vitu kama maandazi pipi navingine vinauzwa shintano hakuna siku ambayo ilimuuma khamis kima siku aliyo ambiwa aende kumwagilia bustani na mama yake mkubwa aliambiwa akikuta maji mengi asimwagilie akikuta machache amwagilie ulivyo fika shamba akakuta maji mengi akaacha kumwagilia anapo ludi anakutana na mtoto wa baba yeke mkubwa mwingine katumwa kumfata anafika nyumbani mama yake mkubwa anamwambia lalachini piga pushapu na baba yake mkubwa akaenda kukata fimbo kwajili ya kumchapia khamis kama unavyo juwa mungu si asumani katika kukata fimbo alijikata katika mkono bila yeye kujijuwa kihasikwamba alijichimba katika mfupa nahakuweza kugundua chochote huku khamis akimuuliza mama yake mkubwa kwani nimekosa nini hadi nipigwe mama yake akamjibu nikwajili umeenda shamab khamis akasema lakini wewe ndie ulie niambia niende baba yake mkubwa akawa kashafika akaanza kumchapa khamis huku na yeye khamis akimuuomba mungu kiukweli fimbo zile haikumuuma hata moja baba yake mkubwa alishangaa kuona khamis halalamiki anavyo chapwa na akajikuta damu zina mtoka mkononi namfupa kulia katika mkono wake alitupa fimbo hapohapo nakwenda huspitili nini kitaendelea wiki ijayo......................
Khamis nurdin aliishi kwa mama yake mkubwa hapo igawa huku mama yake mkubwa alie mleta aliludi rujewa khamis aliishi igawa kwa mama yake huyo mkubwa ambaye pia alikuwa anawatoto wawili mapacha ambao niwadogo kwa khamis majukumu ya kuwalea watoto hao aliachiwa khamis kiukweli ulikuwa nimtihani sana kwake kwani aligeuzwa kuwa mfanyakazi wandani hukuakiwa na umli mdogo sana khamis alilia sana wakati anaanza kutumikishwa kazi nailikuwa nimzigo kwake kwani alikua haelewi chochote alianza kutumikishwa kazi zandani kama kufagia kupiga deki kukosha vyombo kumwagilia miti kuchota maji kuwa safisha watoto kila wanapo jisaidia kwakila siku zinavyo zidi kwenda akawa anaambiwa aendeshamba kumwagilia na kulima vitunguu na karanga ikafikia kipindi akaambiwa aanze kuuza chenga za mchele barabarani nailikuwa nikawaida kupigwa fimbo na baba yake mkubwa mme wa mama yake mkubwa kila siku anapo rudi khamis hakuelewa kwanini anafanyiwa hivyo ilifikia kipindi mapacha hao wakifanya kosa anapigwa khamis wakiiba mboga au kitu chochote anashikwa khamis anafungwa majani mikononi anachomwa moto kunakipindi khamis alikataa kufanya kazi yeyote mlendani alijipa likizo akaambia hakuna kula kuanzia asubuhi hadi kesho yake atakapo amua kufanya kazi alichinjwa bata aliliwa huku khamis anaangalia hakuna alie muonea huruma khamis hakujali hilo alitoka kuelekea barabarani akakutana na mtoto kashika miambili ya noti katumwa kununua mafuta ya taa na maziwa ya mgando khamis alichua ilehela nakumnunulia maziwa yule mtoto hela nyingine akala maandazi mtoto kuludi kwa anaulizwa mafuta yapo wapi anashindwa kusema ikibidi achukuliwe hadi dukani alipo nunua kufika kuuliza kwa mwenye duka akaambiwa ukweli kuwa osama ndio alie mnunulia mtoto huyu maziwa na hela nyingine akala maandazi khamis alikuwa anaitwa osama jina lautani walilompa mtaani kutokana na utukutu wake basi walivyo ambiwa hivyo wakatoka hadi kwa kina osama (khamis) wakawakuta wazazi wake walezi wakawashtakia ikibadi ilipwe ile hela kidogo osama (khamis) anaingia kiukweli alipigwa sana usiku ule alilala akiugulia maumivu alfajili akaamka nakwenda msikitini akaludi akafanya kazi zote akaenda shule kuludi mchana hakukuta chakula zaidi ya kukuta wamemuandalia mchele akauze akachukuwa akaondoka kwenda kuuza kiukweli alikuwa nimjanja sana alikuwa akiesabiwa lita zamchele anazo enda kuuza ila yeye kunauhuni alikuwa anaufanya katika lita ili apate nayeye hela ya kula alianza kumiliki hela akiwa mdogo sana naalikuwa nimtu mwenye bahati sana ya kuokota hela nakipindi hicho vitu kama maandazi pipi navingine vinauzwa shintano hakuna siku ambayo ilimuuma khamis kima siku aliyo ambiwa aende kumwagilia bustani na mama yake mkubwa aliambiwa akikuta maji mengi asimwagilie akikuta machache amwagilie ulivyo fika shamba akakuta maji mengi akaacha kumwagilia anapo ludi anakutana na mtoto wa baba yeke mkubwa mwingine katumwa kumfata anafika nyumbani mama yake mkubwa anamwambia lalachini piga pushapu na baba yake mkubwa akaenda kukata fimbo kwajili ya kumchapia khamis kama unavyo juwa mungu si asumani katika kukata fimbo alijikata katika mkono bila yeye kujijuwa kihasikwamba alijichimba katika mfupa nahakuweza kugundua chochote huku khamis akimuuliza mama yake mkubwa kwani nimekosa nini hadi nipigwe mama yake akamjibu nikwajili umeenda shamab khamis akasema lakini wewe ndie ulie niambia niende baba yake mkubwa akawa kashafika akaanza kumchapa khamis huku na yeye khamis akimuuomba mungu kiukweli fimbo zile haikumuuma hata moja baba yake mkubwa alishangaa kuona khamis halalamiki anavyo chapwa na akajikuta damu zina mtoka mkononi namfupa kulia katika mkono wake alitupa fimbo hapohapo nakwenda huspitili nini kitaendelea wiki ijayo......................
7:05 AM
No comments
Saturday, December 14, 2013
10:51 AM
No comments
hatimae mlatibu wa miale sanaa group apata pigo jingine leo ukiachana na pigo alilo lipata alipo ibiwa sendo studio wakati tumeenda kulekodi wimbo ilitakiwa atoke gangilonga hadi miyomboni peku baati nzuri alipewa sendo zlizo chakaa ambazo ziliachwa kuvaliwa ili zi mstili msada huo aliupata kwa nely zemodo, leo yamkuta mengine nakujikuta hawezi kufanya mazoezi kutokana na timu yake kufungwa 6 kwa 3 timot john ambae anajulikana kwa jina la sila au mzuru kijana alie tikisa katika filamu ya "990 WAMEKUFA" ambae pia ni mlatibu wa kikundi cha miale sanaa group asema hatokuja kusahau matukio haya mawili yaliyo mkuta hivi karibuni
Thursday, December 12, 2013
10:57 AM
No comments
mkurugenzi wa miale sanaa group Khamis Nurdin amfukuza kwenye kikundi msanii wake Junior mwaipopo kutokana na utovu wa nizamu Khamis Nurdin alisema ingawa kipaji cha msanii huyo yeye ndie alie kiona na kumchukua na kuanza kumtengeneza katika sanaa nakufanikiwa kumshilikisha katika filamu ya kwanza ambayo ndiyo iliyo mtambulisha msanii huyo filamu hiyo inaitwa "ZERO DONE" ambayo iliwashilikisha wasanii kama pembe, senga, pacho mwamba, kampto rado na wengine wengi khamis anasema baada ya kutoka filamu hiyo kijana hoyo kaanza kubadilika siku hadi siku akiitwa kufanya mazoezi hafiki kwa wakati anafika anvyo taka yeye naamekua mchonganishi kati ya wasanii na mkurugenzi wa kikundi aliweza kuwaeleza wasanii kuwa khamis nurdin ambae nimkurugenz wa kundi kuwa alienda bungeni akachangiwa pesa na viongozi wote wa bungeni kitu ambacho si chakweli Khamis anasema kijanahuyo ingawa alimuahidi kumsaidia katika sanaa sasa ahadi hiyo anaivunja nakusema hawezi kumsaidia tena kwani kutokana na zarau zake zakujiona yeye staa zimemponza hata kuboronga katika filamu mpya inayo kwenda kwa jina la "990 WAMEKUFA" khamis nurdin amemaliza na kusema hatuitaji msamaha wowote kutoka kwa msanii huyo na kuwa sihi wa sanii wengine wenye tabia kama hiyo achanenayo kwani haiwezi kuwafikisha mbali kisanaa.
10:49 AM
No comments
mkurugenzi wa miale sanaa group amkanya msanii wake joseph haule aache tabia kwenda mazoezini akiwa amelewa kwani aibu ya mazoezi haiyondoki kwa pombe na amemsistiza endapo atarudia kosahilo atachukuliwa hatua za kishelia, ila tumeweza kuongea na joseph mwenyewe amekili kufanya kosa hilo na ameahidi kuto rudia na amehahidi kumfata khamis nurdin ambaendio mkurugenzi wake kumuomba msamaha kwa yale yalio tokea, joseph nae nimmoja kati ya washiliki walio cheza katika filamu mpya ya miale sanaa group inayokwenda kwa jina la "990 WAMEKUFA"
Sunday, December 1, 2013
8:46 PM
No comments
10:12 AM
No comments