PUNDE KUINGIA MTAANI

MIALE SANAA GROUP KUJA NA FILAMU IITWAYO 990 WAMEKUFA TOKA IRINGA

ASANTE KWAKUTEMBELEA UKURASA WETU

PATA HABARI MBALIMBALI ZAFILAMU ZILIZOKO MTAANI NAZIJAZO HAPA

ASANTE KWAKUTEMBELEA UKURASA WETU

JISKIE HURU KUA NASI

ASANTE KWAKUTEMBELEA UKURASA WETU

UNGANA NASI HAPA KILA WAKATI

ASANTE KWAKUTEMBELEA UKURASA WETU

SANA NISEHEMU MUHIMU YAMAISHA YA MWANADAMU KILASIKU. UNGANA NASI HAPA KILA SIKU KUPATA HABARI MBALI MBALI ZASANAA

Thursday, December 26, 2013


Saturday, December 21, 2013

Baazi ya wasanii wa miale sanaa group wakiwa katika picha ya pamoja wakati wakiwa mazoezini

kasimu limbaula na joseph haule wakiwa katika scene

Mkurugenzi wa mialesanaagroup.blogspot.com Khamis Nurdin katika picha ya pamoja na katibu wa uvccm mkoa wa iringa

Azizi Risasi katika picha ya pamoja na katibu uvccm mkoa wa iringa

Obedi katika picha ya pamoja na mtoto mariamu azizi na fatuma khamis wakiwa wanaondoka kurudi numbani baada ya kumaliza mazoezi

Sunday, December 15, 2013

msanii Leah Mhema a.k.a Betty arudi kuungana tena na miale sanaa group tokea alipokuwa anaumwa anasema anamshukulu mwenyez mungu kwa kumponya na kumpa nguvu tena na uzima wa kuungana tena na kundi lake hilo ambalo ni kwamuda mrefu hakuweza kuwanalo

 Betty ingawa nimeambiwa kiwango changu kimeshuka kutokana na muda mrefu sijaweza kufanya mazoezi naamini kuanzia sasa kiwango changu kitarudi nanitakuwa imala naninawashukulu wana miale walio kuwa wanakuja kuniona bila kumsahau mkurugenzi wangu pamoja na mlatibu wangu nawengine pia naomba mwalimu wangu khamis nurdin  anikazanie katika kunifundisha nami nitajitaidi kuwa makini kwa kile nacho fundishwa
SAMAHANI KWA USUMBUFU ULIO JITOKEZA WAKUTO ENDELEZA SIMLIZI YA STORI YA KHAMIS NURDIN KWANI MTANDAO ULIKUWA UNASUMBUA NA SASA UMEKAA VIZURI LEO TUNAENDELEA TULIPO ISHIA WIKI ILIYOPITA




Khamis nurdin aliishi kwa mama yake mkubwa hapo igawa huku mama yake mkubwa alie mleta aliludi rujewa khamis aliishi igawa kwa mama yake huyo mkubwa ambaye pia alikuwa anawatoto wawili mapacha ambao niwadogo kwa khamis majukumu ya kuwalea watoto hao aliachiwa khamis kiukweli ulikuwa nimtihani sana kwake kwani aligeuzwa kuwa mfanyakazi wandani hukuakiwa na umli mdogo sana khamis alilia sana wakati anaanza kutumikishwa kazi nailikuwa nimzigo kwake kwani alikua haelewi chochote alianza kutumikishwa kazi zandani kama kufagia kupiga deki kukosha vyombo kumwagilia miti kuchota maji kuwa safisha watoto kila wanapo jisaidia kwakila siku zinavyo zidi kwenda akawa anaambiwa aendeshamba kumwagilia na kulima vitunguu na karanga ikafikia kipindi akaambiwa aanze kuuza chenga za mchele barabarani nailikuwa nikawaida kupigwa fimbo na baba yake mkubwa mme wa mama yake mkubwa kila siku anapo rudi khamis hakuelewa kwanini anafanyiwa hivyo ilifikia kipindi mapacha hao wakifanya kosa anapigwa khamis wakiiba mboga au kitu chochote anashikwa khamis anafungwa majani mikononi anachomwa moto kunakipindi khamis alikataa kufanya kazi yeyote mlendani alijipa likizo akaambia hakuna kula kuanzia asubuhi hadi kesho yake atakapo amua kufanya kazi alichinjwa bata aliliwa huku khamis anaangalia hakuna alie muonea huruma khamis hakujali hilo alitoka kuelekea barabarani akakutana na mtoto kashika miambili ya noti katumwa kununua mafuta ya taa na maziwa ya mgando khamis alichua ilehela nakumnunulia maziwa yule mtoto hela nyingine akala maandazi mtoto kuludi kwa anaulizwa mafuta yapo wapi anashindwa kusema ikibidi achukuliwe hadi dukani alipo nunua kufika kuuliza kwa mwenye duka akaambiwa ukweli kuwa osama ndio alie mnunulia mtoto huyu maziwa na hela nyingine akala maandazi khamis alikuwa anaitwa osama jina lautani walilompa mtaani kutokana na utukutu wake basi walivyo ambiwa hivyo wakatoka hadi kwa kina osama (khamis) wakawakuta wazazi wake walezi wakawashtakia ikibadi ilipwe ile hela kidogo osama  (khamis) anaingia kiukweli alipigwa sana usiku ule alilala akiugulia maumivu alfajili akaamka nakwenda msikitini akaludi akafanya kazi zote akaenda shule kuludi mchana hakukuta chakula zaidi ya kukuta wamemuandalia mchele akauze akachukuwa akaondoka kwenda kuuza kiukweli alikuwa nimjanja sana alikuwa akiesabiwa lita zamchele anazo enda kuuza ila yeye kunauhuni alikuwa anaufanya katika lita ili apate nayeye hela ya kula alianza kumiliki hela akiwa mdogo sana naalikuwa nimtu mwenye bahati sana ya kuokota hela nakipindi hicho vitu kama maandazi pipi navingine vinauzwa shintano hakuna siku ambayo ilimuuma khamis kima siku aliyo ambiwa aende kumwagilia bustani na mama yake mkubwa aliambiwa akikuta maji mengi asimwagilie akikuta machache amwagilie ulivyo fika shamba akakuta maji mengi akaacha kumwagilia anapo ludi anakutana na mtoto wa baba yeke mkubwa mwingine katumwa kumfata anafika nyumbani mama yake mkubwa anamwambia lalachini piga pushapu na baba yake mkubwa akaenda kukata fimbo kwajili ya kumchapia khamis kama unavyo juwa mungu si asumani katika kukata fimbo alijikata katika mkono bila yeye kujijuwa kihasikwamba alijichimba katika mfupa nahakuweza kugundua chochote huku khamis akimuuliza mama yake mkubwa kwani nimekosa nini hadi nipigwe mama yake akamjibu nikwajili umeenda shamab khamis akasema lakini wewe ndie ulie niambia niende baba yake mkubwa akawa kashafika akaanza kumchapa khamis huku na yeye khamis akimuuomba mungu kiukweli fimbo zile haikumuuma hata moja baba yake mkubwa alishangaa kuona khamis halalamiki anavyo chapwa na akajikuta damu zina mtoka mkononi namfupa kulia katika mkono wake alitupa fimbo hapohapo nakwenda huspitili nini kitaendelea wiki ijayo......................
Rais wa Tanzania Dkt Jakaya kikwete leo akihutubia kwenye shughuli maalum ya mazishi ya Nelson Mandela huko qunnu, eastem cape afrika kusini. Rais kikwete amesema tanzania imepoteza rafiki mkubwa, Rais pia amewakumbusha uhusiano mkubwa uliopo kati ya tanzania na afrika kusini
hapa wakiwa wanausindikiza mwili wa Nelson mandela wakiwa tayali wamesha uwaga na kuuombea 

Saturday, December 14, 2013

hatimae mlatibu wa miale sanaa group apata pigo jingine leo ukiachana na pigo alilo lipata alipo ibiwa sendo studio wakati tumeenda kulekodi wimbo ilitakiwa atoke gangilonga hadi miyomboni peku baati nzuri alipewa sendo zlizo chakaa ambazo ziliachwa kuvaliwa ili zi mstili msada huo aliupata kwa nely zemodo, leo yamkuta mengine nakujikuta hawezi kufanya mazoezi kutokana na timu yake kufungwa 6 kwa 3 timot john ambae anajulikana kwa jina la sila au mzuru kijana alie tikisa katika filamu ya "990 WAMEKUFA" ambae pia ni mlatibu wa kikundi cha miale sanaa group asema hatokuja kusahau matukio haya mawili yaliyo mkuta hivi karibuni

Thursday, December 12, 2013

 Video ya mazoezi ya kikundi cha miale sanaa group ijumaa iliyo pita

 Video ya mazoezi ya kikundi cha miale sanaa group ijumaa iliyo pita

 Video ya mazoezi ya kikundi cha miale sanaa group ijumaa iliyo pita

mkurugenzi wa miale sanaa group Khamis Nurdin amfukuza kwenye kikundi msanii wake Junior mwaipopo kutokana na utovu wa nizamu Khamis   Nurdin alisema ingawa kipaji cha msanii huyo yeye ndie alie kiona na kumchukua na kuanza kumtengeneza katika sanaa nakufanikiwa kumshilikisha katika filamu ya kwanza ambayo ndiyo iliyo mtambulisha msanii huyo filamu hiyo inaitwa "ZERO DONE" ambayo iliwashilikisha wasanii kama pembe, senga, pacho mwamba, kampto rado na wengine wengi khamis anasema baada ya kutoka filamu hiyo kijana hoyo kaanza kubadilika siku hadi siku akiitwa kufanya mazoezi hafiki kwa wakati anafika anvyo taka yeye naamekua mchonganishi kati ya wasanii na mkurugenzi wa kikundi aliweza kuwaeleza wasanii kuwa khamis nurdin ambae nimkurugenz wa kundi kuwa alienda bungeni akachangiwa pesa na viongozi wote wa bungeni kitu ambacho si chakweli Khamis anasema kijanahuyo ingawa alimuahidi kumsaidia katika sanaa sasa ahadi hiyo anaivunja nakusema hawezi kumsaidia tena kwani kutokana na zarau zake zakujiona yeye staa zimemponza hata kuboronga katika filamu mpya inayo kwenda kwa jina la "990 WAMEKUFA"  khamis nurdin amemaliza na kusema hatuitaji msamaha wowote kutoka kwa msanii huyo na kuwa sihi wa sanii wengine wenye tabia kama hiyo achanenayo kwani haiwezi kuwafikisha mbali kisanaa.

mkurugenzi wa miale sanaa group amkanya msanii wake joseph haule aache tabia kwenda mazoezini akiwa amelewa kwani aibu ya mazoezi haiyondoki kwa pombe na amemsistiza endapo atarudia kosahilo atachukuliwa hatua za kishelia, ila tumeweza kuongea na joseph mwenyewe amekili kufanya kosa hilo na ameahidi kuto rudia na amehahidi kumfata khamis nurdin ambaendio mkurugenzi wake kumuomba msamaha kwa yale yalio tokea, joseph nae nimmoja kati ya washiliki walio cheza katika filamu mpya ya miale sanaa group inayokwenda kwa jina la "990 WAMEKUFA"

Sunday, December 1, 2013

R.I.P Msanii Poul Wlker mcheza cinema maarufu alie cheza cinema ya "fast furious" ambae katimiza miaka 40 mwezi wa 9 mwaka 2013 kafariki kwa ajali ya gari yeye na rafiki yake wakiwa katika mashindano, mwendo kasi mtaani huko calfornia marekani.



Wanafunzi washule ya msingi ya wiloles pichani wamebeba bango lenye kuimiza kunywa maziwa mashuleni, maziwa ya asass nimaziwa bola nandio yanayo uzika zaidi katika mkoa wa iringa na mikoa mingine maziwa hayo yalipewa kipaombele katika shule nyingi za mkoani iringa

Saturday, November 30, 2013

wasanii wa Bongo movie katika picha wakiawa ndani ya jezi nyekundu ni mpambano hatari kati ya Bongo movie na Bongo fleva ni katika Bonanza

Historia ya Khamis Nurdin
Khamis Nurdin ni mtoto wa wakwanza upande wa kwa mama yake ambao wapo wawili yeye na mdogo wake yassin na upande wa baba yake yeye ni wakwanza pia ambapo nako kuna wadpgozake 4 Khamis Nurdin amezaliwa rujewa wilaya ya mbalali mkoani mbeya mama yake nimarehemu sasa alifariki akimuacha Khamis akiwa na miaka mitatu na nusu na yassin aliachwa akiwa na mwezi mmoja, mama yake khamis aitwae sauda shaban khamis akiwa hamjuwi baba yake kwani baba yake khamis alimtelekeza mama yake khamis tangu akiwa na ujauzito wa khamis ndipo alipoamua kumsingizia baba mwingine amabae alijitokeza kuwa na mahusiano nae alipo kuja kujifungua ulitokea utata mkubwa sana kati ya mama yake mkubwa wa khamis na mama yake mzazi wa khamis na huyo baba feki wa khamis kwani baba huyo alisema khamis nimwanae huku mama yake mkubwa wa khamis akisema huyo mtoto sio wako kwani hata hafanani nae mama wa khamis alibaki kimya huku akizidi kubugujikwa machozi kwajinsi roho inavyo muuma kwa kumuuza mwanae kwa mtu mwingine baba huyo alifaulu kumchukua khamis na kwenda nae kwake kutokana na mama yake kukubali kua mtoto huyo ni wake mama yake mkubwa wa khamis aliuzunika sana lakini hakuubaliana na lililo tokea akapanga blani ya kwenda kumkomboa khamis wakatihuo mama yake khamis aliamua kuondoka na kwenda mbeya mjini ili kuondoa mawazo aliyo nayo,  huku mama yake mkubwa wa khamis akiendelea kifanya michakato ya kumtorosha khamis kutoka kwa yule baba aliweza kufanikiwa kumpata khamis nakumchukuwa kutokana na khamis kuwa mtundu sana alikuwa akifungiwa ndani malakwamala lakini kutokana na utundu wa khamis walishindwa kumzibiti na akachukuliwa na mama yake mkubwa nakupelekwa sehemu nyingine ambapo napo ni kwa mama yake mkubwa mwingine alie kuwa akiishi igawa mkoa wa mbeya,nini kiliendelea khamis alivyo pelekwa igawa..................fatalia jumapili ijayo



Ccm  yajizolea wanachama 100 pamoja na katibu wa chadema wilaya ya chunya mkoani mbeya ambae pichani ikionyesha kadi ya chadema katibu huyo anae julikana kwajina la Bryson mwasimba kushoto abdurahman kinana ambae ni katibu mkuu wa ccm katibu wa chadema bwana Bryson Mwasimba asama anawaomba msamaha wananchi wote alio wadanganya wakati akiwa katika madaraka yake katika chama cha chadema asema anajuta kukitumikia chadema nasasa hataungana tena na chadema na badala yake kuingia ccm katibu huyo anasema anajiona yupo huru sasa ilivyoingia ccm 

Mbabe Chrispin Kisinini hivi leo kawa shukulu mashabiki wake wote walio shilikiana nae mwanzo hadi mwisho katika kutengeneza filamu yake mpya iitwayo "THE RETTURN OF KIDNAPPER" napia anawashukuru wote walio msapoti katika uzinduzi anasema hana chakuwalipa zaidi atawalipa mungu, naatazidi kujituma kuwaletea vitu vizuri zaidi, naana waomba muweze kuitafuta filamu hii kwani kwa sasa ipo madukani

Friday, November 29, 2013

Vichaa walipewa vipande vya  sabuni wakaambiwa kila m1 ampigie mchumba wake, wakaanza kupiganakuongea mmoja akawa amekaa kimya anawaangalia wenzake Doctar akajuwa ameshapona akamuuliza. Doctar: we mbona huongei? Kichaa: Nasubiri saa 4 ifike nijiunge na cheka bombastk. Doctar hoi

Wednesday, November 27, 2013

CHEZEA PAKA WEWE? Jamaa alimchukua paka wake na kwenda kumtupa mbali aliporudi nyumbani alimkuta paka amekwisha rudi. jamaa alikasirika sana siku ya pili akamchukua na kwendanae zaidi ya kilometa 50 akapiga chochoro za kutosha kisha akamtupa akaanza safari ya kurudi nyumbani, baada ya muda akampiga simu mkewe, vipi mke wangu huyo paka yupo? MKE: Ndiyo mume wangu tena ametulia hapa kwani imekuwaje? JAMAA: hebu mpe simu anielekeze njia ya kurudi nimepotea.

Tuesday, November 26, 2013

Dah! .....USICHEKE.... Jamaa alimkuta kichaa anaandika Barua Ikabidi Amuulize. Unamwandikia nani Barua? kichaa:Najiandikia mwenyewe!! Jamaa: inahusu Nini? kichaa kwa mshangao MKubwa: Heeee! Wewe Mwehu nini, Nitajuwaje wakati bado Barua haijanifikia!!??. Asubuhi njema nduguzanguni

Tuesday, November 19, 2013

CONFERMED: Uzinduzi wa Filamu ya MBABE CHRISS "THE RETURN OF KIDNAPPER" Unafanyika Ijumaa ya wiki ijayo tar 29 ndani ya CLUB MUCHMORE, Bongo Move wote watakuwepo pamoja na mastar kibao, sio siku ya kuikosa kiingilio ni 10,000 VIP 30,000

Sunday, November 17, 2013

BREAKING NEWS:Watu7 wafariki dunia hapo hapo na wengine wa5 kujeruhiwa baada ya gari aina ya Noah kugongana uso kwa uso na lori la mizigo maeneo ya Dakawa mkoani Morogoro

Sunday, November 10, 2013

KIOTA ART PRODUCTIONS

Ni kampuni ya utayarishaji Filamu mkoani Iringa na Tanzania kwa ujumla inayopatikana mjini Iringa mkabala na soko kuu la Iringa.

Mbali na utayarishaji wa Filamu, Kiota inajisughulisha na Uongozaji wa filamu, uandishi wa script, Usimamizi wa mandhali na Sakafu pamoja na kufanya post Production kwa ujumla. 

Aidha Kiota inatoa huduma za upigaji picha katika shughuli mbalimbali kama vile arusi, kitchen part, kipaimara, misiba, makongamano, semina, mikutano na vikao mbalimbali. 

Pia tunapiga picha za passport size na huduma zote za Stationery kwa gharama nafuu. 

Wasiliana nasi kwa Simu namba:-
0754 439740
0715 439740 au
Email: shamkis@gmail.com 

Baadhi ya wasanii wa filamu mkoani Iringa wakitafakari wakati wa mazoezi yao katika moja ya kambi za mazoezi mkoani hapa. Tasnia ya filamu mkoani Iringa, bado inahitaji mapinduzi makubwa ili kufikia mafanikio

Monday, November 4, 2013

kampuni ya Zitto entertaenment na mkurugenzi wa Miale sanaa Group Khamis Nurdin wanawaombea dua wanafunzi wote wa 4m4   nakuwatakia mitihani mema na mwenyez mungu awabaliki

Eddo Bashil mtangazaji wa redio Ebony  hivi karibuni arudi kazini na kwasasa yupo makambako katika shoo za mtikisiko Eddo apokolewa kwa shangwe na mashabiki wake wa makambako na njombe Eddo anasema haamini kilichotokea makambako hakutegemea kama angepokelewa namnahiyo Eddo pichani akitoa mkono kumpa shabiki wake alie vaa kofia yenye rangi nyeupe na nyeusi Eddo anasema hana chakuwalipa mashabiki hawo mwenyez mungu pekee ndie atakae walipa Eddo kamaliza nakusema kuwa atajitaidi kadri ya uwezo wake kuwalizisha mashabiki wake katika kazi namwisho anamshukulu mwenyez mungu kwa yote yaliyo tokea

Sunday, November 3, 2013

Amasha LOrence arudi kwenye gem kimyakimya msanii Amasha hivi karibuni ameanza maandalizi ya kutengeneza filam akishilikiana na swahiba wake kipenzi Khamis Nurdin hivi sasa wapo porini na wasanii wakifanya mazoezi ya filam hiyo Amasha anasema kwamba mashabiki wajiandae kuipokea filam hiyo ambayo itakua ni yakutisha na ndiomana wanaifanyia porini na ametoa sababu ya kumchukua swahiba wake katika filam hiyo nakumuomba kushilikiana nae kwani Khamis Nurdin nimzoefu wa filam za kutisha kwahiyo hajutii kumchukuwa na anaimani itakuwa nzuri sana kazi hiyo

Rems John yupo katika zoezi anacheza kama zombi katika filam hiyo. hizi nipicha zamazoezi jamani filam bado hawajaanza kushuti

msanii Anna akiwa katika zoezi kacheza kama kufa. Inatisha ilembaya kama mazoezitu..... yapo hivi hiyo filam itakuaje

Khamis Nurdin akiwa na Lea Mhema wakiwa katika zoezi

Saturday, November 2, 2013

Msanii Masanja wa Iringa leohi wameungana na Magumashi kwajili ya kupiga shoo kabambe vijijini msanii Masanja ambae nimtata katika kuigiza sauti tofauti tofauti  na iliompa umaarufu ni sauti ya Masanja na nyingine ya Kingwendu, msanii huyo anasema shoo hiyo itakuwa ni bamkubwa kutokana na maandalizi walio jipanga nayo  

Msanii Magumashi anaejulikana kuwa nimtata katika shilikisho la filam mkoa wa Iringa kila anapoonekana yeye katika kikao watu wote humtizama yeye kwani malanyingi hupingana na wenzie katika maamuzi, hivi karibuni wameungana na Masanja wa Iringa ambae huwa anaigiza sauti tofauti tofauti hasa iliompa umaarufu nisauti ya Masanja na nyingine ya Kingwendu, wamekubaliana kwa pamoja kupiga shoo kabambe  katika vijiji vyote mkoa wa Iringa 

Wednesday, October 30, 2013


Tumuombeeni duwa kwa wale tunao guswa juu ya kesi yake kiukweli inauma sana ngoja tuone kesho itakavyo kuwa tena.


Tuesday, October 29, 2013

Rozi ni binti anaeishi na bibi yake mtaa wa mwangata mkoani Iringa leo hii amekutana na mlatibu wa kikundi cha Miale sanaa Group Timoti John katika mtaa wa gangilonga nakuanza kumwelezea shida yake kuwa anaitaji kujiunga na kikundi cha Miale sanaa Group nakudai kwamba kilicho mfanya ajiunge nikutokana na kushawishika na filamu iliyo tolewa na kikundi hicho inayokwenda kwajina la Zero Done nakusema kwamba yeye anakipaji ila ilikuwa hajuwi aanzie wapi ila aliposikia mahojiano katika rodio ambapo Khamis Nurdin mkurugenzi wa kikundi cha Miale sanaa Group alipotoa ruksa ya watu kujiunga nayeye ndio akakitafuta kikundi kilipo nakujalibu kukutana na viongozi anasema haamini kama leo kakutana na viongozi hao nakisha akaelezea historia yake kwa kifupi kuwa yeye nimtoto wa mwisho katika famila ya watoto nane ila watano wamefaliki katika njia ya kutatanisha Rozi katika kipengele hichi aliongea kwauzuni sana alisema kwamba ndugu zake walianza kupukutika baada ya baba yao kupotezwa na mjomba yao kisha na wao wakaanza kupotea mmojammoja ingawa walikuwa wamechangia mama ila ilimuuma sana imani ya kishilikina ndio iliyo wapoteza ndugu zake nakudai kwamba yeye hadi sasa ham,juwi baba yake mzazi huwa anasimuliwa kuwa baba yake alipotea katika njia za utata Timoti John alimuuliza juu ya elimu yake Rozi akadai ameishia la saba naalishindwa kuendelea na masomo kutokana na hali ya maisha kuwa ngumu yeye na bibi yake kwani mama yake alifariki pia, ndipo Timoti John alipo amuwa kumtafuta Khamis Nurdin kumweleza juu ya kumsaidia Rozi nakumfata kwapamoja alipo

Timoti John akimsikiliza kwa umakini sana Rozi nakumwambia asijari atasaidiwa ngoja wa mfate Khamis Nurdin ili wamweleze hili

Khamis Nurdin akiwa anawasubiri Timoti John na Rozi katika gari la dada yake aitwae mwasiti

Khamis Nurdin akiwa anamsikiliza Rozi kwa umakini  baada ya kufika Rozi alimweleza Khamis pia juu ya shida yake nakusema anaomba asaidiwe juu ya sanaa na pia anafani ya ufundi cheleani anaomba apate mtu wa kumsaidia mashine ya cheleani ili ajiajili kupitia mashine hiyo Khamis Nurdin ambae ni Mkurugenzi wa kikundi cha Miale sanaa Group alimkubalia kujiunga na kikundi hicho na kumwahidi kumsaidia katika sanaa 

Rozi akimshukuru Timoti John kwa kukubaliwa kujiunga na kikundi hicho

Khamis Nurdin akijipiga picha yeye na Rozi baada ya kumaliza maongezi

Monday, October 28, 2013

huyu ni mtoto wa khamisi nurdin anaitwa dadrahamani khamis r nurdin nimtoto wake wakwanza

steven kalinga akiwa nyuma ya kijana wa mapambo kushoto akiwa yassin alafati wakipamba ukumbi

vaileti akikata kachumbali kulia kwake jeska akimenya viazi pamoja na blandina katika harusi ya mussa chunga

khamis nurdin na yassin alafati na steven kalinga wanakoga kujiandaa kwenda kwenye harus na wao ndio wanakamati wa harusi ya mussa chunga

blandina na wenzio wakigeoza pilau la harusi ya mussa chunga

khamis nurdin akikaangiza mboga ya kwenye harusi mussa chunga

malidadi neto akiwa na daudi masasi ambaye ni mwenyekiti wa shilikisho la wa sanii mkoa wa iringa wakicheza kwa pamoja katika harisi ya mussa chunga wakati wanamsubiri mussa chunga kuwasili nyumbani kwao 

mussa chunga akiwa ndio anawasili kutoka iringa mjin kufika nyumbani kwao msosa yupo na mkewe katika gari

khamis nurdin akiwa na mdogo wake zarina nurdin katika gradu ya 4m4 khamis nurdin akimlisha keki  

zarina nurdin akimlisha keki kaka yake khamis nurdin katika gradu ya 4m4

amasha rafiki wa khamis nurdin akimlisha keki cathelin katika gradu ya 4m4

khamis nurdin wakilishana keki na khabiba

 khamis nurdin na khabiba katika poz